Tunaanza utekelezaji wa mradi wa Polish Aid nchini Tanzania. Tunayo furaha kutangaza kwamba kama matokeo ya utaratibu wa ushindani wa mpango wa Msaada wa Kipolandi unaofadhiliwa na Wizara ya...
MRADI WA UBORESHAJI WA UBORA MAFUNZO YA AFYA/TIBA YA MIFUGO KWA VIJANA NCHINI TANZANIA KWA KUBORESHA MAZINGIRA NA MBINU ZA KUFUNDISHIA. Taasisi ya Kipolishi ya Sayansi ya Msingi kwa Maendeleo (Foundation Science for Development) imekamilisha shughuli za mradi wake ujulikanao kama:“Uboreshaji...
TUZO YA “AMICUS OECONOMIE” KWA BWANA KRZYSZTOF BUZALSKI – BALOZI WA JAMHURI YA POLAND NCHINI TANZANIA. Tulifurahi, kuhudhuria mkutano wa mwaka uliofanyika kabla ya Krismasi ambao ulihusisha muhtasari wa jumla wa masuala ya diplomasia ya uchumi...
Ukarabati wa Maabara ya Vidusia/Parasitolojia katika LITA-Kampasi ya Tengeru(Arusha). Kulingana na mradi wa “Uboreshaji wa ubora mafunzo ya afya ya Mifugo kwa vijana nchini Tanzania kwa kuboresha Mazingira na...